Mada hii inazungumzia: Watu aina mbili ni watu wa fitina kubwa ni wajibu kwa Muislamu kujiepusha nao, pia imezungumzia umuhimu wa kuchukua tahadhari wakati wa ikukidhi haja.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 04 - (Kiswahili)
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 03 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Maana ya suna, na umuhimu wake na daraja zake, na kwamba Sunna zimegawanyika namna tofauti katika maamrisho na makatazo, pia imezungumzia hatari ya dhambi ya kusengenya na kugombanisha watu.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 02 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Kufaulu ni juu ya wanaomtii Allah na Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhimu wa kumuiga Mtume (s.a.w) katika kila jambo.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 01 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Neema ya kuletwa Mtume (s.a.w) akiwa ni rehma kwa walimwengu wote na umuhimu wa kushukuru juu ya neema uislamu, pia imefafanua maana ya khutbatul-haja .
TAWHIDI KATIKA HOTUBA ZA AL-MASJID AN-NABAWI - (Kiswahili)
TAWHIDI KATIKA HOTUBA ZA AL-MASJID AN-NABAWI
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 58 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mtume (s.a.w) alikuwa akileta tasbihi baada ya swala kwa mkono wake wa kulia, pia imeelezea Dua aliyokuwa akiomba Mtume (s.a.w).
uchawi - (Kiswahili)
uchawi
Neema Za Nyumba Na Tabia Za Majumbani - (Kiswahili)
1- Mada hii inazungumzia: Neema za nyumba na faidazake, nakwamba nyumba niukamilifu wa neema za Allah kwa waja wake, pia imezungumzia baadhi ya faida za nyumba kama vile makazi, stara, kulala, ibada ya swala na ibada ya ndoa. 2- Mada hii inazungumzia: Nyumba ni sehem ya kumstiri mwanamke na kumlinda....
Mvurugiko Wa Madili Katika Nyumba Za Waislam - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia mmomonyoko na mvurugiko wa maadili katika nyumba za waislam, na uwajibu wa kujifunza kwa mtume alayhi salam.
Uongozi Katika Uislam - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia uongozi katika uislam,na umuhimu wa uongozi,na matatizo ya misikitini na tasisi za kislam,na dalili ambazo zimekuja kuzungumzia uongozi,mifano hai ya uongozi na umuhimu wake
SHEMEJI NA MIPAKA YAKE YA KISHERIA NDANI YA UISLAMU - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia misingi na mipaka ya shemeji kataka sheria ya uislam
KUITUMIKIA DINI - (Kiswahili)
MADA HII INAZUNGUMZIA UWAJIBU NA UBORA WA KUITUMIKIA DINI NA MALIPO ATAKAYO PATA ATAKAE KUFA KATIKA KUITUMIKIA DINI YA UISLAM.
