Dini ya Uislamu Inatangazwa kupitia Dalili zitokanazo na Qur'ani na Sunnah za Mbora wa Viumbe
Qauli yenye faida 19 Kuamini Malaika - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea Maisha ya malaika na chanzo cha kufukuzwa Shetani pia ameeleza kwamba malaika wanaishi peponi na amehitimisha kuelezea kuamini vitabu vya Allah alivyo viteremsha kwa Manabii wake.
Qauli yenye faida 16 Maana ya Kumuamini Allah - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea kuhusu maana ya Imani na mambo ambayo yanaingia katika Imani, na ameeleza kuwa Imani inazidi na kupungua.
Kuamini Qadari Ni Sababu Ya Kupata Sa’ada - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuamini Qadari na kwamba kila kitu anapanga Allah, pia imezunguzia muislam anatakiwa kuishi na watu vizuri pamoja kutosheka na kichache anachopata.
HII NDIYO ITIKADI YETU - (Kiswahili)
Kitabu hiki kinazungumzia: Itikadi sahihi ya muislam, kinazungumzia pia imani ya kweli ni kumuamini Allah na Malaika wake na Vitabu vyake na Mitume wake, na matunda yake, na malipo ya wenye kumpwekesha Mweyezi Mungu.
BID´AH ZA JENEZA - (Kiswahili)
Kitabu hiki kinazunguzia bid’ah (uzushi) katika mambo ya jeneza
Adhkari zinazo semwa asubuhi na jioni. - (Kiswahili)
Adhkari zinazo semwa asubuhi na jioni.
Kitabu cha Imani ambayo Mwenyezi Mungu aliwafaradhishia waja wake kutokana na yale yaliyokuja katika Qur'ani Tukufu na Sunna za Mtume
ITIKADI SAHIHI NA YANAYOPINGANA NAYO - (Kiswahili)
TAHADHARI DHIDI YA UZUSHI - (Kiswahili)
KUCHAGUA KUTOKA KATIKA ENSAIKLOPIDIA YA HADITHI ZA MTUME - (Kiswahili)
KUCHAGUA KUTOKA KATIKA ENSAIKLOPIDIA YA HADITHI ZA MTUME
TAHADHARI DHIDI YA UZUSHI - (Kiswahili)
