Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo katazwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.
Kuwafanyia uadui mawalii wa Mwenyezi Mungu -43 - (Kiswahili)
Jambo la kwanza kwa Mja - (Kiswahili)
Jambo la kwanza kwa Mja
Udhaifu Na Ucha Mungu - (Kiswahili)
Mada hii inazunguzia namna ya kuutumia udhaifu katika kuupata ucha Mungu
The Disavowal Of Satan From People In The Day Of Judgement
Neema Za Nyumba Na Tabia Za Majumbani - (Kiswahili)
1- Mada hii inazungumzia: Neema za nyumba na faidazake, nakwamba nyumba niukamilifu wa neema za Allah kwa waja wake, pia imezungumzia baadhi ya faida za nyumba kama vile makazi, stara, kulala, ibada ya swala na ibada ya ndoa. 2- Mada hii inazungumzia: Nyumba ni sehem ya kumstiri mwanamke na kumlinda....
Mvurugiko Wa Madili Katika Nyumba Za Waislam - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia mmomonyoko na mvurugiko wa maadili katika nyumba za waislam, na uwajibu wa kujifunza kwa mtume alayhi salam.
Uongozi Katika Uislam - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia uongozi katika uislam,na umuhimu wa uongozi,na matatizo ya misikitini na tasisi za kislam,na dalili ambazo zimekuja kuzungumzia uongozi,mifano hai ya uongozi na umuhimu wake
TAKBIRA - (Kiswahili)
TAKBIRA
Hukumu Za Jeneza - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia sherehe ya kitabu cha shekh albani,na muongozo kamili wa jeneza kuanzia ugonjwa na kufariki dunia,na kuoshwa na kuvikwa sanda,na kuswalia, na kuzikwa.
NGUZO ZA IMANI Katika Hotuba za Al-Masjid An-Nabawi - (Kiswahili)
NGUZO ZA IMANI Katika Hotuba za Al-Masjid An-Nabawi
Nini wafanye waislam ikiwa kiongozi wao ni kafiri ? - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Kauli za wanachuoni kuhusu watawala ambao ni makafiri, na hukumu ya Mwanamke kuolewa na mtu wa bid’a.