Mada hii inazunguzia namna dunia ilivyo uchanganya umma wa kiislam.
Tumeifanyia nini dini yetu ? - (Kiswahili)
Utata Katika Maswala Ya Jihadi Na Majibu Yake - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Daraja za jihadi, ni wakati gani jihadi inakuwa ni lazima, vievile inazungumzia maneno ya wanachuoni kuhusu jihadi.
Kuamini Qadari Ni Sababu Ya Kupata Sa’ada - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuamini Qadari na kwamba kila kitu anapanga Allah, pia imezunguzia muislam anatakiwa kuishi na watu vizuri pamoja kutosheka na kichache anachopata.
Hukumu Za Jeneza - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia sherehe ya kitabu cha shekh albani,na muongozo kamili wa jeneza kuanzia ugonjwa na kufariki dunia,na kuoshwa na kuvikwa sanda,na kuswalia, na kuzikwa.
Maadui Wa Uislamu - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mbinu wanazozitumia maadui wa Uislamu lengo ni kuuchafua uislam, lazima watu waisafishe dini ya Allah (S.w), imezungumzia pia ubaya wa kundi la khawarij na uharamu wa kuua au kumwaga damu bila haki.
Uongozi Katika Uislam - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia uongozi katika uislam,na umuhimu wa uongozi,na matatizo ya misikitini na tasisi za kislam,na dalili ambazo zimekuja kuzungumzia uongozi,mifano hai ya uongozi na umuhimu wake
Mvurugiko Wa Madili Katika Nyumba Za Waislam - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia mmomonyoko na mvurugiko wa maadili katika nyumba za waislam, na uwajibu wa kujifunza kwa mtume alayhi salam.
Udhaifu Na Ucha Mungu - (Kiswahili)
Mada hii inazunguzia namna ya kuutumia udhaifu katika kuupata ucha Mungu
The Disavowal Of Satan From People In The Day Of Judgement
Neema Za Nyumba Na Tabia Za Majumbani - (Kiswahili)
1- Mada hii inazungumzia: Neema za nyumba na faidazake, nakwamba nyumba niukamilifu wa neema za Allah kwa waja wake, pia imezungumzia baadhi ya faida za nyumba kama vile makazi, stara, kulala, ibada ya swala na ibada ya ndoa. 2- Mada hii inazungumzia: Nyumba ni sehem ya kumstiri mwanamke na kumlinda....
Nini wafanye waislam ikiwa kiongozi wao ni kafiri ? - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Kauli za wanachuoni kuhusu watawala ambao ni makafiri, na hukumu ya Mwanamke kuolewa na mtu wa bid’a.
Da’awa Ya Haqi Inapiga Vita Makundi Ya Kisiasa,Naubaguzi - (Kiswahili)
Anuwani ya mada hii ni: Da’awa ya haki inapiga vita makundi ya kisiasa, imeongelea pia aina za makundi na misingi ya da’awa ya kisnna.