Mada hii inazungumzia: Miongoni wa sababu za mtu kuokoka na Moto wa Jahanam, pia imezungumzia umuhimu wa kutoa kilicho bora kwa ajili ya Allah na hatari ya ubakhili na imeelezea kwa ufupi kisa cha watoto wa Nabii Adam (a.s) Qabili na Habili.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 22 - (Kiswahili)
SHARTI ZA SWALA NA NGUZO ZAKE NA WAJIBU WAKE - (Kiswahili)
SHARTI ZA SWALA NA NGUZO ZAKE NA WAJIBU WAKE
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 23 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Sababu ya Qabil kumua ndugu yake Habil na namna alivyomzika, pia imezungumzia hatari ya dhambi ya kuua na umuhimu kwa muislamu kujutia madhambi.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 24 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Adabu za kumtembelea ndugu katika Uislamu na namna ya kumuandalia mgeni chakula, pia imezungumzia umuhimu wa mzazi kuwalea watoto katika malezi bora ya kiislamu.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 25 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kuwalea mabinti katika majumba na malipo anayo pata mwenye kuwalea mabinti wawili katika misingi ya uislam, pia amezungumza kuwa watoto wakike wanalindwa.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 26 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa faida za kumtembelea mgonjwa au ndugu katika Uislamu ikiwemo kukumbushana katika mambo ya kheri, pia imezungumzia umuhimu na ubora wa ibada ya swala.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 27 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya ubora na thawabu anazopata mtu anapoenda msikitini, pia imezunguzia hatari ya mwanaume wa kiislamu kuswalia nyumbani badala ya msikitini.
Sifa Ya Udhu Wa Mtume (s.a.w) - (Kiswahili)
"Mada hii inazungumzia: Utaratibu na namna ya kutawadha kama alivyotawadha Mtume (s.a.w). kama ilivyo kuja katika hadithi ya Humran(r.a) Pia amezungumzia ubora wa swala baada ya Udhu."
UTARATIBU WA MUISLAMU - (Kiswahili)
UTARATIBU WA MUISLAMU
Tumeifanyia nini dini yetu ? - (Kiswahili)
Mada hii inazunguzia namna dunia ilivyo uchanganya umma wa kiislam.
Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo - (Kiswahili)
Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo.
No Description
