×

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 18 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: ukamilifu wa mada ilio pita ikizungumzia maana ya kumswalia mtume (s.a.w) kisha amebainisha namna ya kumswalia mtume, na hatari ya uzushi katika dini.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 04 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Watu aina mbili ni watu wa fitina kubwa ni wajibu kwa Muislamu kujiepusha nao, pia imezungumzia umuhimu wa kuchukua tahadhari wakati wa ikukidhi haja.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 17 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya kumtembelea mgonjwa ametaja ubora wa mkutembelea mgonjwa, ikiwemo Malaika elfu sabini wanamuombea dua, na kuzungukwa na rehma, pia imefafanua maana ya malaika kumswalia.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 16 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya kumtembelea mgonjwa au ndugu katika imani na namna Maswahaba wa Mtume (s.a.w) walivyo dumu na Sunna hii, pia imezungumzia fadhila na malipo yake.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 05 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Dua alizoomba Mtume (s.a.w) ili Allah amkinge na Moto wa Jahanam na Adhabu za kaburini, pia imezungumzia miongoni mwa sababu za watu kuadhibiwa kaburini.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 06 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya nafasi ya usafi katika Uislamu ikiwemo Sunna ya kupiga mswaki, pia imezungumzia ubora na umuhimu wa maisha ya ndoa.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 07 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kufanya uadilifu ndani ya ndoa na namna Aisha (r.a) alivyojifakharisha kwa Mtume (s.a.w) wakati wa uhai wake na kabla ya kufa kwake (s.a.w), pia imezungumzia tukio la kufa Mtume (s.a.w).

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 13 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika taratibu za kupiga mswaki na miongoni mwa faida na tiba inayopatikana katika kupiga mswaki, pia imezungumzia nyakati ambazo ni muhimu na ni Sunna kupiga mswaki.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 10 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Aina na dalili za ucha Mungu, nakwamba miongoni mwa dalili za ucha Mungu ni kutumia kitabu cha Alllah na Sunna za Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhimu wa Muislamu kujiandaa na Akhera.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 11 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika umuhimu wa kutoa na kujitolea kwa ajili ya Allah, pia imezungumzia umuhimu wa kuwasaidia masikini na hatari ya ubakhili

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 09 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mafundisho ya Mtume (s.a.w) katika kufurahishana na kusaidiana mke na mume ndani ya ndoa, pia imezungumzia njia sahihi za kumaliza ugomvi baina ya mume na mke. Kisha ametaja faida za mswaki.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 12 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kufanya matendo mema kwa siri bila ya kujionyesha mbele za watu, nakwamba ibada za siri nisababu ya kujibiwa dua ikiwa ni kwa ikhlas.